Mahakama ya Kimataifa ya Haki ICJ itakamilisha hivi leo kesi ya wiki nzima ambayo ilikuwa likijadili hatua zinazotakiwa kuchukuliwa na Israel+++Mkuu wa majeshi ya Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba kupitia mtandao wa X amekili wanamshikilia Eddie Mutwe mlinzi mkuu wa kiongozi wa upinzani Bobi Wine.