Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Kenya leo inaadhimisha miaka 10 tangu kutokea shambulio la kigaidi dhidi ya chuo kikuu cha Garissa / Waziri wa Ulinzi wa Israel Israel Katz amesema mashambulizi ya Israel huko Gazayanatanuliwa ili kuangamiza na kuwafurusha wanamgambo katika eneo hilo