Hatimaye, Kenya inafungua ukurasa mpya kisiasa baada ya kupata naibu mpya wa rais ambaye ni Profesa Kithure Kindiki aliyekuwa waziri wa usalama wa taifa.Kindiki ameapishwa rasmi asubuhi hii kuwa naibu wa rais wa tatu+++Chama tawala cha Botswana BDP kimeshindwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 30. Ushindi huo unahitimisha miaka 58 ya utawala wa chama hicho madarakani.