Moshi mwingi umeonekana karibu na Hospitali ya Nasser inayofanya kazi katika Ukanda wa Gaza+++Sekreterieti ya taifa ya CCM, imeamrisha wagombea wote wa udiwani waliopitishwa warejeshwe ili wakapigiwe kura za maoni+++Mjini Kigali, Rwanda, umeanza Mkutano Mkuu wa 20 wa Shirikisho la Mabaraza ya Maaskofu wa Kanisa Katoliki Barani Afrika.