Ungana nasi hapa kusikiliza Taarifa ya habari ya asubuhi ya leo. Miongoni mwa nyinginezo utasikia +++Iran yaondoa uwezekano wa kurejea kwenye mazungumzo na Marekani hivi karibuni +++ Zaidi ya watu milioni 14 huenda wakapoteza maisha baada ya Marekani kupunguza ufadhili +++ Marekani yaiondolea rasmi Syria vikwazo. Kaa nasi