Ukraine yaziharibu ndege za kijeshi za Urusi kabla ya kufanyika mazungumzo ya Istanbul // Waziri wa Ulinzi wa Israel aliamuru jeshi kuendelea na operesheni zake Gaza licha ya mazungumzo ya usitishaji vita // Na vilabu vya Pyramids na Mamelodi Sundowns kumenyana katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika