Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Katibu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoli Tanzania(TEC), Padri Charles Kitima amevamiwa na kushambuliwa jana usiku / Marekani imezitolea wito ndia na Pakistan kupunguza mivutano yao iliyozidishwa na shambulio lililowauwa watu 26 Kashmir