Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa Marekani Donald Trump amesema hakuwa anafanya masihara alipotamka anataka kuwania muhula wa tatu madarakani / Zaidi ya wakambizi elfu 70 kutoka nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo wamevuka mpaka na kuingia taifa jirani la Burundi