Rais wa zamani wa Ujerumani Horst Köhler afariki dunia. Burundi yaonya kuhusu kutokea kwa vita vipana zaidi kutokana na mzozo wa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Israel imewaachilia huru wafungwa 183 wa Kipalestina. Watu 40 wameuwawa baada ya RSF kushambulia soko Sudan